43 Wakati alikuwa amesema maneno hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro, kuja huku inje!”+ 44 Mutu huyo mwenye alikuwa amekufa akatoka inje, miguu na mikono yake ilikuwa imefungwa kwa vitambaa, na uso wake ulikuwa umefungwa kwa kitambaa. Yesu akawaambia: “Mumufungue na mumuache aende.”