Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Danieli 12:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 “Lakini wewe, endelea mupaka mwisho. Utapumuzika, lakini utasimama kwa ajili ya fungu lako* kwenye mwisho wa zile siku.”+

  • Yohana 5:28, 29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 28 Musishangazwe na jambo hili, kwa maana saa inakuja yenye wale wote wenye kuwa katika makaburi ya ukumbusho watasikia sauti yake+ 29 na watatoka, wale wenye walitenda mambo ya muzuri kwenye ufufuo wa uzima, na wale wenye walizoea kutenda mambo maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+

  • Yohana 11:43, 44
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 43 Wakati alikuwa amesema maneno hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro, kuja huku inje!”+ 44 Mutu huyo mwenye alikuwa amekufa akatoka inje, miguu na mikono yake ilikuwa imefungwa kwa vitambaa, na uso wake ulikuwa umefungwa kwa kitambaa. Yesu akawaambia: “Mumufungue na mumuache aende.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine