8 Kama vile hakuna mutu mwenye kuwa na uwezo juu ya roho* ao mwenye anaweza kuzuia roho, vilevile hakuna mwenye kuwa na uwezo juu ya siku ya kifo.+ Kama vile hakuna mwenye anaruhusiwa kuondoka wakati wa vita, vilevile uovu hautaruhusu wale wenye wanazoea kuutenda waponyoke.*