Zaburi 103:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Hatatafuta makosa sikuzote,+Wala hataendelea kuwa na kinyongo milele.+ Mika 7:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Ni Mungu gani mwenye kuwa kama wewe,Mwenye kusamehe makosa na mwenye haangalie makosa+ ya mabaki ya uriti wake?+ Hataendelea kuwa na kasirani milele,Kwa maana anafurahia upendo mushikamanifu.+
18 Ni Mungu gani mwenye kuwa kama wewe,Mwenye kusamehe makosa na mwenye haangalie makosa+ ya mabaki ya uriti wake?+ Hataendelea kuwa na kasirani milele,Kwa maana anafurahia upendo mushikamanifu.+