7 Na Yehova Mungu akaumba mwanadamu kutoka katika mavumbi+ ya udongo na akapuliza katika matundu ya pua yake pumuzi ya uzima,+ na mwanadamu akakuwa mutu mwenye uzima.*+
25 wala haiko mikono ya mwanadamu ndiyo inamutumikia kama kwamba yeye iko* na lazima ya kitu chochote,+ kwa sababu yeye mwenyewe anapatia watu wote uzima na pumuzi+ na vitu vyote.