Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yobu 35:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Watu wanalia, lakini yeye hawajibu,+

      Kwa sababu ya kiburi cha waovu.+

  • Zaburi 18:37
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 37 Nitafuatilia maadui wangu na kuwafikia;

      Sitarudia mupaka wakati watakuwa wamefutwa.

  • Zaburi 18:41
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 41 Wanalilia musaada, lakini hakuna mutu wa kuwaokoa;

      Hata wanamulilia Yehova, lakini yeye hawajibu.

  • Mezali 28:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Mwenye anakataa kusikiliza sheria

      ⁠—​Hata sala yake inachukiza.+

  • Yeremia 11:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Angalia, ninaleta juu yao musiba+ wenye hawataweza kuepuka. Wakati wataniita ili kuomba musaada, sitawasikiliza.+

  • Yakobo 4:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Wakati munaomba, hamupokee kwa sababu munaomba kwa kusudi la mubaya, ili muvitumie kwa ajili ya tamaa zenu za mwili.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine