-
Zaburi 18:37Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
37 Nitafuatilia maadui wangu na kuwafikia;
Sitarudia mupaka wakati watakuwa wamefutwa.
-
-
Zaburi 18:41Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
41 Wanalilia musaada, lakini hakuna mutu wa kuwaokoa;
Hata wanamulilia Yehova, lakini yeye hawajibu.
-
-
Mezali 28:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Mwenye anakataa kusikiliza sheria
—Hata sala yake inachukiza.+
-
-
Yakobo 4:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Wakati munaomba, hamupokee kwa sababu munaomba kwa kusudi la mubaya, ili muvitumie kwa ajili ya tamaa zenu za mwili.
-