Mezali 13:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Mutu mwema anaachia wajukuu wake uriti,Lakini mali ya mutenda-zambi itawekwa akiba kwa ajili ya mwenye haki.+ Mezali 28:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Mwenye anaongeza mali yake kwa faida+ na faida ya juu sanaAnaikusanyia ule mwenye anaonyesha maskini wema.+ Muhubiri 2:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 Anamupatia mutu mwenye anamupendeza hekima na ujuzi na furaha,+ lakini anamupatia mutenda-zambi kazi ya kukusanya na kurundika tu ili apatie ule mwenye anamupendeza Mungu wa kweli.+ Jambo hilo pia ni bure,* ni kufuatilia upepo.
22 Mutu mwema anaachia wajukuu wake uriti,Lakini mali ya mutenda-zambi itawekwa akiba kwa ajili ya mwenye haki.+
8 Mwenye anaongeza mali yake kwa faida+ na faida ya juu sanaAnaikusanyia ule mwenye anaonyesha maskini wema.+
26 Anamupatia mutu mwenye anamupendeza hekima na ujuzi na furaha,+ lakini anamupatia mutenda-zambi kazi ya kukusanya na kurundika tu ili apatie ule mwenye anamupendeza Mungu wa kweli.+ Jambo hilo pia ni bure,* ni kufuatilia upepo.