Mezali 13:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Mutu mwema anaachia wajukuu wake uriti,Lakini mali ya mutenda-zambi itawekwa akiba kwa ajili ya mwenye haki.+ Mezali 19:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Mwenye anaonyesha mutu wa hali ya chini wema anamukopesha Yehova,+Na Yeye atamulipa* kwa sababu ya mambo yenye anatenda.+
22 Mutu mwema anaachia wajukuu wake uriti,Lakini mali ya mutenda-zambi itawekwa akiba kwa ajili ya mwenye haki.+
17 Mwenye anaonyesha mutu wa hali ya chini wema anamukopesha Yehova,+Na Yeye atamulipa* kwa sababu ya mambo yenye anatenda.+