Zaburi 25:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wenye kumuogopa,+Na anawajulisha agano lake.+ Mezali 3:32 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 32 Kwa maana Yehova anachukia mutu mudanganyifu,+Lakini anafanya urafiki wa karibu pamoja na watu wanyoofu.+
32 Kwa maana Yehova anachukia mutu mudanganyifu,+Lakini anafanya urafiki wa karibu pamoja na watu wanyoofu.+