Mezali 14:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Mwenye anazarau jirani yake anatenda zambi,Lakini mutu yeyote mwenye anaonyesha huruma watu wa hali ya chini ni mwenye furaha.+ Mezali 14:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Mwenye anapunja mutu wa hali ya chini anatukana Mutengenezaji wake,+Lakini mutu yeyote mwenye anasikilia maskini huruma anamutukuza Mungu.+ Mezali 19:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Mwenye anaonyesha mutu wa hali ya chini wema anamukopesha Yehova,+Na Yeye atamulipa* kwa sababu ya mambo yenye anatenda.+
21 Mwenye anazarau jirani yake anatenda zambi,Lakini mutu yeyote mwenye anaonyesha huruma watu wa hali ya chini ni mwenye furaha.+
31 Mwenye anapunja mutu wa hali ya chini anatukana Mutengenezaji wake,+Lakini mutu yeyote mwenye anasikilia maskini huruma anamutukuza Mungu.+
17 Mwenye anaonyesha mutu wa hali ya chini wema anamukopesha Yehova,+Na Yeye atamulipa* kwa sababu ya mambo yenye anatenda.+