Zaburi 26:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Ninachukia kuwa pamoja na waovu,+Na ninakataa kushirikiana* na waovu.+ Mezali 6:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Kuko vitu sita (6) vyenye Yehova anachukia;Ndiyo, vitu saba (7) vyenye anachukia* sana: Mezali 6:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Moyo wenye kufanya mipango ya uovu,+ na miguu yenye kukimbilia haraka kwenye uovu,