Zaburi
Ya Daudi.
26 Unihukumu, Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika uaminifu-mushikamanifu wangu;+
Nimemutegemea Yehova bila kuyumba-yumba.+
6 Nitanawa mikono yangu katika kukosa kuwa na hatia,
Na nitatembea kuzunguka mazabahu yako, Ee Yehova,
7 Ili nifanye sauti ya kutoa shukrani isikike+
Na ili nitangaze kazi zako zote za ajabu.
9 Usinifagilie mbali* pamoja na watenda-zambi+
Wala kuondoa uzima wangu pamoja na watu wenye jeuri,*
10 Wenye mikono yao inajiingiza katika mwenendo wa haya,
Na wenye mukono wao wa kuume umejaa rushwa.*
11 Lakini mimi, nitatembea katika uaminifu-mushikamanifu wangu.
Uniokoe* na unionyeshe wema.