34 Ninyi wazao wa nyoka-vipiri,+ namna gani munaweza kusema mambo ya muzuri, wakati ninyi ni waovu? Kwa maana kinywa kinasema mambo yenye kujaa katika moyo.+
45 Mutu muzuri anatosha mambo ya muzuri katika hazina ya muzuri ya moyo wake, lakini mutu muovu anatosha mambo maovu katika hazina yake ya mubaya; kwa maana kinywa chake kinasema mambo yenye kujaa katika moyo.+