Matayo 3:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Wakati aliona Wafarisayo na Wasadukayo+ wengi wanakuja kwenye ubatizo, akawaambia: “Ninyi wazao wa nyoka-vipiri,+ ni nani aliwaonya mukimbie kasirani kali yenye inakuja?+ Matayo 23:33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 “Ninyi nyoka, uzao wa nyoka-vipiri,+ mutakimbia namna gani hukumu ya Gehena?*+
7 Wakati aliona Wafarisayo na Wasadukayo+ wengi wanakuja kwenye ubatizo, akawaambia: “Ninyi wazao wa nyoka-vipiri,+ ni nani aliwaonya mukimbie kasirani kali yenye inakuja?+