Yobu 19:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Kwa maana ninajua muzuri kwamba mukombozi wangu+ anaishi;Kisha wakati fulani atakuja na kusimama juu ya dunia.* Matayo 20:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Kama vile Mwana wa binadamu hakukuja ili watu wamutumikie, lakini ili yeye atumikie wengine+ na atoe uzima wake* kuwa bei ya ukombozi pa nafasi ya wengi.”+
25 Kwa maana ninajua muzuri kwamba mukombozi wangu+ anaishi;Kisha wakati fulani atakuja na kusimama juu ya dunia.*
28 Kama vile Mwana wa binadamu hakukuja ili watu wamutumikie, lakini ili yeye atumikie wengine+ na atoe uzima wake* kuwa bei ya ukombozi pa nafasi ya wengi.”+