Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kwa sababu ya uchungu wake,* ataona na kutosheka.

      Kupitia ujuzi wake, mwenye haki, mutumishi wangu,+

      Atafanya wengi wahesabiwe kuwa wenye haki;+

      Na atabeba makosa yao.+

  • Marko 10:45
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu hakukuja ili watu wamutumikie, lakini ili yeye atumikie wengine+ na atoe uzima wake* kuwa bei ya ukombozi pa nafasi ya wengi.”+

  • 1 Timoteo 2:5, 6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Kwa maana kuko Mungu mumoja,+ na kuko mupatanishi mumoja+ kati ya Mungu na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+ 6 mwenye alijitoa kuwa bei ya ukombozi yenye kulingana kwa ajili ya wote*+⁠—⁠hili ndilo litatolewa ushahidi kwa wakati wake mwenyewe wenye kufaa.

  • Tito 2:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 wakati tunangojea tumaini lenye furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu kwa Mungu mukubwa na kwa Mwokozi wetu, Yesu Kristo, 14 mwenye alijitoa kwa ajili yetu+ ili atukomboe*+ kutoka katika kila namna ya uvunjaji wa sheria na kujisafishia watu wenye kuwa mali yake ya pekee, wenye bidii kwa ajili ya matendo ya muzuri.+

  • Waebrania 9:28
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 28 vilevile pia Kristo alitolewa mara moja kwa wakati wote ili kubeba zambi za watu wengi;+ na mara ya pili wakati atatokea itakuwa ni bila zambi,* na ataonwa na wale wenye wanamutafuta kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine