-
Tito 2:13, 14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 wakati tunangojea tumaini lenye furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu kwa Mungu mukubwa na kwa Mwokozi wetu, Yesu Kristo, 14 mwenye alijitoa kwa ajili yetu+ ili atukomboe*+ kutoka katika kila namna ya uvunjaji wa sheria na kujisafishia watu wenye kuwa mali yake ya pekee, wenye bidii kwa ajili ya matendo ya muzuri.+
-