-
Kumbukumbu la Torati 34:7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Musa alikuwa na miaka mia moja makumi mbili (120) wakati alikufa.+ Macho yake hayakukuwa yamefifia, na nguvu zake hazikukuwa zimeisha.
-
-
Yobu 42:16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Kisha pale Yobu akaishi miaka mia moja makumi ine (140), na akaona watoto wake na wajukuu wake—vizazi ine (4).
-