19 Kisha Mikaya akasema: “Basi, sikia neno la Yehova: Nilimuona Yehova akiwa amekaa kwenye kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni likiwa limesimama pembeni yake, upande wake wa kuume na upande wake wa kushoto.+
13 “Nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na angalia! mutu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa anakuja na mawingu ya mbingu; na akapewa ruhusa ya kumukaribia Muzee wa Siku,+ na wakamuleta karibu mbele ya Huyo.