Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ mwenye hana ukosefu wa haki hata kidogo;+Yeye ni mwenye haki na munyoofu.+ Zaburi 33:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Anapenda uadilifu* na haki.+ Dunia imejaa upendo mushikamanifu wa Yehova.+ Zaburi 37:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Na hataacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataharibiwa.+
4 Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+ Mungu wa uaminifu+ mwenye hana ukosefu wa haki hata kidogo;+Yeye ni mwenye haki na munyoofu.+
28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Na hataacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataharibiwa.+