Zaburi 97:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Enyi wenye kumupenda Yehova, muchukie mambo ya mubaya.+ Analinda uzima wa* washikamanifu wake;+Anawaokoa katika mukono wa* waovu.+ Mezali 2:7, 8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Anaweka kama hazina hekima yenye kutenda kwa ajili ya wanyoofu;Yeye ni ngao kwa wale wenye kutembea katika uaminifu-mushikamanifu.+ 8 Analinda njia za haki,Na atalinda njia ya washikamanifu wake.+
10 Enyi wenye kumupenda Yehova, muchukie mambo ya mubaya.+ Analinda uzima wa* washikamanifu wake;+Anawaokoa katika mukono wa* waovu.+
7 Anaweka kama hazina hekima yenye kutenda kwa ajili ya wanyoofu;Yeye ni ngao kwa wale wenye kutembea katika uaminifu-mushikamanifu.+ 8 Analinda njia za haki,Na atalinda njia ya washikamanifu wake.+