25 Wakati huo Yesu akasema: “Ninakusifu mbele ya watu, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umeficha watu wenye hekima na wenye elimu mambo haya na umeyafunua kwa watoto wadogo.+
16 Mukuwe na mutazamo uleule kuelekea wengine kama ule wenye muko nao kuelekea ninyi wenyewe; musikaze akili yenu juu ya mambo ya hali ya juu, lakini muongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Musikuwe wenye hekima mbele ya macho yenu wenyewe.+
26 Kwa maana munaona mwito wenu, ndugu, kwamba hakuna wengi wenye hekima katika njia ya kimwili* wenye waliitwa,+ hakuna wengi wenye nguvu, hakuna wengi wenye kuwa wa kizazi chenye cheo,*+