Zaburi 147:7, 8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Mumuimbie Yehova kwa shukrani;Mumuimbie Mungu wetu sifa kwa kinubi, 8 Yeye mwenye kufunika mbingu kwa mawingu,Yeye mwenye kupatia dunia mvua,+Yeye mwenye kuchipusha majani+ juu ya milima.
7 Mumuimbie Yehova kwa shukrani;Mumuimbie Mungu wetu sifa kwa kinubi, 8 Yeye mwenye kufunika mbingu kwa mawingu,Yeye mwenye kupatia dunia mvua,+Yeye mwenye kuchipusha majani+ juu ya milima.