Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 147
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Kusifu matendo ya Mungu ya upendo na yenye nguvu

        • Anaponyesha wenye kuvunjika moyo (3)

        • Anaita nyota zote kwa majina (4)

        • Anatuma teluji kama manyoya ya kondoo (16)

Zaburi 147:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

  • *

    Ao “kumupigia Mungu wetu muziki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 135:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 17

Zaburi 147:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 102:16
  • +Kum 30:1-3; Eze 36:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 17-18

Zaburi 147:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 18

Zaburi 147:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 40:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 18

    Mkaribie Yehova, uku. 50-51

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2004, uku. 11

Zaburi 147:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye uwezo katika nguvu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Nah 1:3
  • +Isa 40:28; Rom. 11:33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 18-19

Zaburi 147:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 19-20

Zaburi 147:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 18:45; Yer 14:22; Mt 5:45
  • +Yob 38:25-27; Isa 30:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 19

Zaburi 147:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 136:25
  • +Yob 38:41; Lu 12:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 19

Zaburi 147:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 31:1; Ho 1:7
  • +1 Sa. 16:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 20

Zaburi 147:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mal 3:16
  • +Zab 33:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 20

Zaburi 147:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Pingo ni kipande cha muti ao cha chuma cha kufungia mulango kwa ndani.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 20

Zaburi 147:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mafuta ya ngano.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:6; Isa 60:17
  • +Kum 8:7, 8; Zab 132:14, 15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 20

Zaburi 147:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 20-21

Zaburi 147:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neige.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 37:6
  • +Yob 38:29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 20

Zaburi 147:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “barafu yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 10:11
  • +Yob 37:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 20

Zaburi 147:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 148:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 20

Zaburi 147:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 21

Zaburi 147:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5; 31:16, 17; Kum 4:8; 1Nya 17:21; Rom. 3:1, 2
  • +Ufu 19:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017, uku. 21

Maandiko ingine

Zb. 147:1Zab 135:3
Zb. 147:2Zab 102:16
Zb. 147:2Kum 30:1-3; Eze 36:24
Zb. 147:4Isa 40:26
Zb. 147:5Nah 1:3
Zb. 147:5Isa 40:28; Rom. 11:33
Zb. 147:6Zab 37:11
Zb. 147:81 Fal. 18:45; Yer 14:22; Mt 5:45
Zb. 147:8Yob 38:25-27; Isa 30:23
Zb. 147:9Zab 136:25
Zb. 147:9Yob 38:41; Lu 12:24
Zb. 147:10Isa 31:1; Ho 1:7
Zb. 147:101 Sa. 16:7
Zb. 147:11Mal 3:16
Zb. 147:11Zab 33:18
Zb. 147:14Law. 26:6; Isa 60:17
Zb. 147:14Kum 8:7, 8; Zab 132:14, 15
Zb. 147:16Yob 37:6
Zb. 147:16Yob 38:29
Zb. 147:17Yosh. 10:11
Zb. 147:17Yob 37:10
Zb. 147:18Zab 148:8
Zb. 147:19Kum 4:5
Zb. 147:20Kut 19:5; 31:16, 17; Kum 4:8; 1Nya 17:21; Rom. 3:1, 2
Zb. 147:20Ufu 19:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 147:1-20

Zaburi

147 Mumusifu Yah!*

Ni muzuri kumuimbia Mungu wetu sifa;*

Inapendeza sana na inafaa sana kumusifu yeye!+

 2 Yehova anajenga Yerusalemu;+

Anakusanya pamoja watu wa Israeli wenye walisambazwa.+

 3 Anaponyesha wenye kuvunjika moyo;

Anafunga vidonda vyao.

 4 Anahesabia jumla ya nyota;

Zote anaziita kwa majina.+

 5 Bwana wetu ni mukubwa na mwenye nguvu nyingi sana;*+

Uelewaji wake hauwezi kupimwa.+

 6 Yehova anainua wapole,+

Lakini anatupa chini waovu.

 7 Mumuimbie Yehova kwa shukrani;

Mumuimbie Mungu wetu sifa kwa kinubi,

 8 Yeye mwenye kufunika mbingu kwa mawingu,

Yeye mwenye kupatia dunia mvua,+

Yeye mwenye kuchipusha majani+ juu ya milima.

 9 Anapatia wanyama chakula,+

Kunguru wadogo wenye wanalia ili wakipate.+

10 Hafurahie nguvu za farasi;+

Wala hashangazwe na miguu yenye nguvu ya mutu.+

11 Yehova anafurahia wale wenye kumuogopa,+

Wale wenye kungojea upendo wake mushikamanifu.+

12 Umutukuze Yehova, Ee Yerusalemu.

Umusifu Mungu wako, Ee Sayuni.

13 Anafanya mapingo* ya milango mikubwa ya muji wako yakuwe yenye nguvu;

Anabariki wana wako wenye kuwa ndani yako.

14 Analeta amani katika eneo lako;+

Anakushibisha kwa ngano ya muzuri kabisa.*+

15 Anatuma amri yake katika dunia;

Neno lake linakimbia haraka sana.

16 Anatuma teluji* kama manyoya ya kondoo;+

Anasambaza barafu nyembamba kama vile majivu.+

17 Anatupa chini majiwe yake ya mvua* kama vipande vya mukate.+

Ni nani anaweza kuvumilia baridi yake?+

18 Anatuma neno lake, na inayeyuka.

Anafanya upepo wake uvume,+ na maji yanatiririka.

19 Anamutangazia Yakobo neno lake,

Na Israeli masharti yake na hukumu zake.+

20 Hajafanyia vile taifa lingine lolote;+

Hawajue kitu chochote kuhusu hukumu zake.

Mumusifu Yah!*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine