26 Muangalie kwa uangalifu ndege wa mbinguni;+ hawapande mbegu ao kuvuna ao kukusanya katika madepo, lakini Baba yenu wa mbinguni anawalisha. Je, ninyi hamuko wa maana kuliko wao?
24 Muangalie kunguru: Hawapande mbegu wala hawavune; hawana chumba cha kuwekea chakula wala depo; lakini Mungu anawalisha.+ Je, ninyi hamuko wa maana kuliko ndege?+