Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 3:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Na akanionyesha Yoshua+ kuhani mukubwa akiwa amesimama mbele ya malaika wa Yehova, na Shetani+ alikuwa amesimama kwenye mukono wake wa kuume ili kumupinga.

  • Matayo 4:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Kisha Yesu akaongozwa na roho kuenda katika jangwa ili ajaribiwe+ na Ibilisi.+

  • Matayo 4:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Na Mujaribu+ akakaribia na kumuambia: “Kama wewe uko mwana wa Mungu, ambia majiwe haya yakuwe mikate.”

  • Luka 22:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 “Simoni, Simoni, angalia! Shetani ameomba kuwapata ninyi wote ili awapepue kama ngano.+

  • Yohana 13:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Walikuwa wanaendelea kula chakula cha mangaribi, na Ibilisi alikuwa amekwisha kutia katika moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni, wazo la kumusaliti Yesu.+

  • Ufunuo 12:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Basi ule nyoka mukubwa+ akatupwa chini, ule nyoka wa zamani,+ mwenye kuitwa Ibilisi+ na Shetani,+ mwenye anapotosha dunia yote yenye kuikaliwa na watu;+ akatupwa chini katika dunia,+ na malaika wake wakatupwa chini pamoja naye.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine