3Na akanionyesha Yoshua+ kuhani mukubwa akiwa amesimama mbele ya malaika wa Yehova, na Shetani+ alikuwa amesimama kwenye mukono wake wa kuume ili kumupinga.
2 Walikuwa wanaendelea kula chakula cha mangaribi, na Ibilisi alikuwa amekwisha kutia katika moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni, wazo la kumusaliti Yesu.+
9 Basi ule nyoka mukubwa+ akatupwa chini, ule nyoka wa zamani,+ mwenye kuitwa Ibilisi+ na Shetani,+ mwenye anapotosha dunia yote yenye kuikaliwa na watu;+ akatupwa chini katika dunia,+ na malaika wake wakatupwa chini pamoja naye.