Zaburi 103:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Kama vile mahali jua linatokea kuko mbali sana na mahali jua linashukia,Ni vile ametia zambi zetu mbali sana na sisi.+ Isaya 38:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Angalia! Kuliko kuwa na amani, nilikuwa na uchungu mwingi;Lakini kwa sababu ulinipenda sana*Ulinilinda nisiingie katika shimo la uharibifu.+ Kwa maana umetupa zambi zangu zote nyuma ya mugongo wako.*+
12 Kama vile mahali jua linatokea kuko mbali sana na mahali jua linashukia,Ni vile ametia zambi zetu mbali sana na sisi.+
17 Angalia! Kuliko kuwa na amani, nilikuwa na uchungu mwingi;Lakini kwa sababu ulinipenda sana*Ulinilinda nisiingie katika shimo la uharibifu.+ Kwa maana umetupa zambi zangu zote nyuma ya mugongo wako.*+