Ezekieli 11:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Na nitawapatia moyo wenye kuunganishwa,*+ na nitatia roho mupya ndani yao;+ na nitaondoa moyo wa jiwe katika miili yao+ na kuwapatia moyo wa nyama,*+ Waefeso 4:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Na munapaswa kuendelea kufanywa upya katika mutazamo wenye unatawala akili yenu,*+
19 Na nitawapatia moyo wenye kuunganishwa,*+ na nitatia roho mupya ndani yao;+ na nitaondoa moyo wa jiwe katika miili yao+ na kuwapatia moyo wa nyama,*+