Zaburi 62:1, 2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 62 Kwa kweli, ninamungojea* Mungu kimya-kimya. Wokovu wangu unatoka kwake.+ 2 Kwa kweli, yeye ni mwamba wangu na wokovu wangu, kimbilio langu salama;*+Sitatikiswa sana hata kidogo.+ Zaburi 71:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa maana wewe ni tumaini langu, Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi, Yehova;Nimekutegemea wewe* tangu ujana wangu.+
62 Kwa kweli, ninamungojea* Mungu kimya-kimya. Wokovu wangu unatoka kwake.+ 2 Kwa kweli, yeye ni mwamba wangu na wokovu wangu, kimbilio langu salama;*+Sitatikiswa sana hata kidogo.+
5 Kwa maana wewe ni tumaini langu, Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi, Yehova;Nimekutegemea wewe* tangu ujana wangu.+