Zaburi 34:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Mutu huyu wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia. Alimuokoa katika taabu zake zote.+ Zaburi 65:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Ee Musikiaji wa sala, watu wa namna zote watakuendea.*+ Zaburi 116:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 116 Ninamupenda YehovaKwa sababu anasikia* sauti yangu, vilio vyangu vya kuomba musaada.+ 1 Yohana 3:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 na chochote chenye tunaomba tunakipokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunashika amri zake na tunafanya mambo yenye kupendeza mbele ya macho yake.
22 na chochote chenye tunaomba tunakipokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunashika amri zake na tunafanya mambo yenye kupendeza mbele ya macho yake.