Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 89:36, 37
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 36 Uzao wake utadumu* milele;+

      Kiti chake cha ufalme kitadumu kama jua mbele yangu.+

      37 Kama mwezi, kitafanywa kuwa imara kabisa milele

      Kama shahidi muaminifu katika anga.” (Sela)

  • Luka 1:32, 33
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Huyo atakuwa mukubwa+ na ataitwa Mwana wa Mwenye Kuwa Juu Zaidi;+ na Yehova* Mungu atamupatia kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+ 33 na atatawala akiwa Mufalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na Ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+

  • Ufunuo 11:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Malaika wa saba (7) akapiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikiwa mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ na atatawala akiwa mufalme milele na milele.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine