-
Danieli 2:35Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
35 Wakati huo kile chuma, ule udongo, ile shaba, ile feza, na ile zahabu, vyote pamoja, vikapondwa na kuwa kama maganda ya mbegu yenye kutoka kwenye kiwanja cha kupigia-pigia nafaka katika kipindi cha joto, na ule upepo ukavipeperusha mbali hivi kwamba hakuna alama yoyote yavyo yenye ilipatikana. Lakini lile jiwe lenye lilipiga ile sanamu likakuwa mulima mukubwa, na likajaza dunia yote.
-
-
Zekaria 9:10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Nitaondoa gari la vita kutoka Efraimu
Na farasi kutoka Yerusalemu.
Upinde wa mapigano utachukuliwa.
-