Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wafalme

      • Usimamizi katika utawala wa Sulemani (1-19)

      • Mafanikio katika utawala wa Sulemani (20-28)

        • Usalama chini ya muzabibu na muti wa tini (25)

      • Hekima na mezali za Sulemani (29-34)

1 Wafalme 4:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 9:30; Mhu. 1:12

1 Wafalme 4:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wakubwa wake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 6:8; 27:16, 17

1 Wafalme 4:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:17; 1Nya 27:32
  • +2 Sa. 8:16; 20:24

1 Wafalme 4:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 1:8; 2:35; 1Nya 27:5
  • +1 Fal. 2:26

1 Wafalme 4:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 1:9, 10
  • +2 Sa. 15:37; 1Nya 27:33

1 Wafalme 4:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 20:24; 1 Fal. 5:14; 12:18
  • +1 Fal. 9:15

1 Wafalme 4:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 27:1

1 Wafalme 4:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 19:42, 48

1 Wafalme 4:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:29
  • +Yosh. 17:11; 1 Sa. 31:8, 10
  • +Yosh. 21:34

1 Wafalme 4:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Pingo ni kipande cha muti ao cha chuma cha kufungia mulango kwa ndani.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:41-43; 1 Fal. 22:3
  • +Hes 32:41; Kum 3:14
  • +Hes 32:1
  • +Kum 3:4
  • +Yosh. 13:8, 11

1 Wafalme 4:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 32:1, 2; 2 Sa. 2:8, 9

1 Wafalme 4:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 1:8
  • +Yosh. 18:11

1 Wafalme 4:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 17:1
  • +Hes 21:21
  • +Kum 3:4

1 Wafalme 4:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 22:15, 17
  • +Mhu. 2:24

1 Wafalme 4:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Efrati.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:18; Kut 23:31; 2 Sa. 8:3; Zab 72:8-10
  • +Zab 72:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    ‘Nchi Nzuri’, uku. 16

1 Wafalme 4:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Kori moja ilikuwa sawa na litre 220 (vibaba 200). Angalia Nyongeza B14.

1 Wafalme 4:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, upande wa mangaribi wa Efrati.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 1:4
  • +Mwa 10:19
  • +1 Fal. 5:4; 1Nya 22:9; Zab 72:7

1 Wafalme 4:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2003, uku. 24

1 Wafalme 4:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Hesabu hii inapatikana katika maandishi fulani na katika simulizi lingine kama hili. Maandishi mengine yanasema 40 000.

  • *

    Ao “wapanda-farasi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:15, 16; 1 Fal. 10:24-26; 2Nya 1:14, 17

1 Wafalme 4:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 4:7

1 Wafalme 4:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “moyo wenye uelewaji.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:23; 2Nya 1:10; Mez. 2:6

1 Wafalme 4:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 7:22

1 Wafalme 4:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 89:utangulizi
  • +Zab 88:utangulizi
  • +1Nya 2:4, 6
  • +1 Fal. 10:1, 7; Lu 11:31

1 Wafalme 4:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Alisema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 1:1; Mhu. 12:9
  • +Wim 1:1

1 Wafalme 4:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “viumbe vyenye kuruka.”

  • *

    Pengine kutia ndani viumbe vyenye kutambaa na vidudu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:22
  • +Mez. 30:30
  • +Mez. 30:19
  • +Mez. 6:6; 30:25

1 Wafalme 4:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 9:1, 23

Maandiko ingine

1 Fa. 4:12Nya 9:30; Mhu. 1:12
1 Fa. 4:21Nya 6:8; 27:16, 17
1 Fa. 4:32 Sa. 8:17; 1Nya 27:32
1 Fa. 4:32 Sa. 8:16; 20:24
1 Fa. 4:41 Fal. 1:8; 2:35; 1Nya 27:5
1 Fa. 4:41 Fal. 2:26
1 Fa. 4:51 Fal. 1:9, 10
1 Fa. 4:52 Sa. 15:37; 1Nya 27:33
1 Fa. 4:62 Sa. 20:24; 1 Fal. 5:14; 12:18
1 Fa. 4:61 Fal. 9:15
1 Fa. 4:71Nya 27:1
1 Fa. 4:9Yosh. 19:42, 48
1 Fa. 4:122 Fal. 23:29
1 Fa. 4:12Yosh. 17:11; 1 Sa. 31:8, 10
1 Fa. 4:12Yosh. 21:34
1 Fa. 4:13Kum 4:41-43; 1 Fal. 22:3
1 Fa. 4:13Hes 32:41; Kum 3:14
1 Fa. 4:13Hes 32:1
1 Fa. 4:13Kum 3:4
1 Fa. 4:13Yosh. 13:8, 11
1 Fa. 4:14Mwa 32:1, 2; 2 Sa. 2:8, 9
1 Fa. 4:181 Fal. 1:8
1 Fa. 4:18Yosh. 18:11
1 Fa. 4:19Yosh. 17:1
1 Fa. 4:19Hes 21:21
1 Fa. 4:19Kum 3:4
1 Fa. 4:20Mwa 22:15, 17
1 Fa. 4:20Mhu. 2:24
1 Fa. 4:21Mwa 15:18; Kut 23:31; 2 Sa. 8:3; Zab 72:8-10
1 Fa. 4:21Zab 72:10
1 Fa. 4:24Yosh. 1:4
1 Fa. 4:24Mwa 10:19
1 Fa. 4:241 Fal. 5:4; 1Nya 22:9; Zab 72:7
1 Fa. 4:26Kum 17:15, 16; 1 Fal. 10:24-26; 2Nya 1:14, 17
1 Fa. 4:271 Fal. 4:7
1 Fa. 4:291 Fal. 10:23; 2Nya 1:10; Mez. 2:6
1 Fa. 4:30Mdo 7:22
1 Fa. 4:31Zab 89:utangulizi
1 Fa. 4:31Zab 88:utangulizi
1 Fa. 4:311Nya 2:4, 6
1 Fa. 4:311 Fal. 10:1, 7; Lu 11:31
1 Fa. 4:32Mez. 1:1; Mhu. 12:9
1 Fa. 4:32Wim 1:1
1 Fa. 4:33Kut 12:22
1 Fa. 4:33Mez. 30:30
1 Fa. 4:33Mez. 30:19
1 Fa. 4:33Mez. 6:6; 30:25
1 Fa. 4:342Nya 9:1, 23
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wafalme 4:1-34

Cha Kwanza cha Wafalme

4 Mufalme Sulemani alitawala juu ya Israeli yote.+ 2 Hawa ndio walikuwa maofisa wake wakubwa:* Azaria mwana wa Sadoki+ alikuwa kuhani; 3 Elihorefu na Ahiya wana wa Shisha walikuwa waandishi;+ Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani; 4 Benaya+ mwana wa Yehoyada alikuwa mukubwa wa jeshi; Sadoki na Abiatari+ walikuwa makuhani; 5 Azaria mwana wa Natani+ alikuwa mukubwa wa wasaidizi; Zabudi mwana wa Natani alikuwa kuhani na rafiki ya mufalme;+ 6 Ahishari alikuwa musimamizi wa nyumba; na Adoniramu+ mwana wa Abda alikuwa musimamizi wa watu wenye waliandikishwa kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa.+

7 Sulemani alikuwa na wasaidizi kumi na mbili (12) wenye walisimamia Israeli wote, wenye walikuwa wanamuletea mufalme na nyumba yake chakula. Kila mumoja alikuwa na daraka la kuleta chakula mwezi mumoja katika mwaka.+ 8 Haya ndiyo yalikuwa majina yao: Mwana wa Huru, katika eneo lenye milima la Efraimu; 9 mwana wa Dekeri, katika Makazi, Shaalbimu,+ Bet-shemeshi, na Elon-bet-hanani; 10 mwana wa Hesedi, katika Aruboti (alisimamia Soko na inchi yote ya Heferi); 11 mwana wa Abinadabu, katika miteremuko yote ya Dori (Tafati, binti ya Sulemani, akakuwa bibi yake); 12 Baana mwana wa Ahiludi, katika Taanaki, Megido,+ na Bet-sheani yote,+ yenye kuwa pembeni ya Saretani chini ya Yezreeli, kuanzia Bet-sheani mupaka Abel-mehola mupaka eneo la Yokmeamu;+ 13 mwana wa Geberi, katika Ramoti-gileadi+ (alikuwa na vijiji vya mahema vya Yairi+ mwana wa Manase, vyenye kuwa katika Gileadi;+ alikuwa pia na eneo la Argobu,+ lenye kuwa katika Bashani:+ miji mikubwa makumi sita [60] yenye kuta na mapingo* ya shaba); 14 Ahinadabu mwana wa Ido, katika Mahanaimu;+ 15 Ahimaazi, katika Naftali (alimuchukua Basemati, binti mwingine wa Sulemani, akuwe bibi yake); 16 Baana mwana wa Hushai, katika Asheri na Bealoti; 17 Yehoshafati mwana wa Parua, katika Isakari; 18 Shimei+ mwana wa Ela, katika Benyamini;+ 19 Geberi mwana wa Uri, katika inchi ya Gileadi,+ inchi ya Sihoni+ mufalme wa Waamori na ya Ogu+ mufalme wa Bashani. Kulikuwa pia musaidizi mumoja mwenye kusimamia wasaidizi hao wengine wote katika inchi.

20 Yuda na Israeli walikuwa wengi kama chembe za muchanga pembeni ya bahari;+ walikuwa wanakula na kunywa na kufurahi.+

21 Sulemani alitawala falme zote kuanzia kwenye Muto*+ mupaka kwenye inchi ya Wafilisti na kufikia kwenye mupaka wa Misri. Walimuletea Sulemani ushuru na kumutumikia siku zote za maisha yake.+

22 Chakula cha Sulemani cha kila siku kilikuwa vipimo makumi tatu (30) vya kori* vya unga muzuri na vipimo makumi sita (60) vya kori vya unga, 23 ngombe kumi (10) wenye kunenepa, ngombe makumi mbili (20) wenye kutoka kwenye malisho, na kondoo mia moja (100), pamoja na paa fulani, swala, kulungu, na kuku wenye kunenepa. 24 Kwa maana alikuwa anatawala kila kitu ngambo hii ya Muto,*+ kuanzia Tifsa mupaka Gaza,+ kutia ndani wafalme wote upande huu wa Muto; na alifurahia amani katika maeneo yote kumuzunguka pande zote.+ 25 Yuda na Israeli waliishi kwa usalama, kila mutu chini ya muzabibu wake mwenyewe na chini ya muti wake mwenyewe wa tini, kuanzia Dani mupaka Beer-sheba, siku zote za Sulemani.

26 Na Sulemani alikuwa na vibanda elfu ine (4 000)* vya farasi kwa ajili ya magari yake na farasi* elfu kumi na mbili (12 000).+

27 Wasaidizi hao walikuwa wanamuletea Mufalme Sulemani chakula na kila mutu mwenye alikula kwenye meza ya Mufalme Sulemani. Kila mumoja alikuwa na daraka hilo katika mwezi wake na alihakikisha kwamba hakuna kitu chochote chenye kukosekana.+ 28 Walileta pia shayiri na majani kila mahali kwenye vilihitajiwa kwa ajili ya farasi na kwa ajili ya vikundi vya farasi, kila mumoja kulingana na kiasi chenye aliombwa.

29 Na Mungu akamupatia Sulemani hekima na utambuzi kwa wingi sana na ukubwa wa moyo* kama muchanga pembeni ya bahari.+ 30 Hekima ya Sulemani ilipita hekima ya watu wote wa Mashariki na hekima yote ya Misri.+ 31 Alikuwa na hekima kuliko mwanadamu mwingine yeyote, alikuwa na hekima kuliko Etani+ Mwezra na Hemani,+ Kalkoli,+ na Darda, wana wa Maholi; sifa yake ilienea katika mataifa yote ya pembeni-pembeni.+ 32 Alitunga* mezali elfu tatu (3 000)+ na nyimbo zake+ zilikuwa elfu moja na tano (1 005). 33 Alikuwa anasema kuhusu miti, kuanzia mwerezi wa Lebanoni mupaka muhisopo+ wenye unakomaa kwenye ukuta; alikuwa anasema kuhusu wanyama,+ ndege,*+ vitu vyenye kutambaa,*+ na samaki. 34 Watu kutoka katika mataifa yote walikuja kusikia hekima ya Sulemani, kutia ndani wafalme kutoka kila mahali katika dunia wenye walikuwa wamesikia juu ya hekima yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine