Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 73:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Kwa maana nilisikilia wivu wenye kiburi*

      Wakati nilikuwa ninaona amani ya waovu.+

  • Zaburi 73:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Wanasema: “Mungu anajua namna gani?+

      Je, Mwenye Kuwa Juu Zaidi iko* kabisa na ujuzi?”

  • Zaburi 94:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Waovu wataendelea mupaka wakati gani, Ee Yehova,

      Waovu wataendelea kushangilia mupaka wakati gani?+

  • Zaburi 94:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Wanasema: “Yah haone;+

      Mungu wa Yakobo hatambue jambo hilo.”+

  • Ezekieli 8:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Akaniambia: “Mwana wa binadamu je, unaona mambo yenye wazee wa nyumba ya Israeli wanafanya katika giza, kila mumoja katika vyumba vya ndani kwenye sanamu zake zinaonyeshwa?* Kwa maana wanasema, ‘Yehova hatuone. Yehova ameacha inchi hii.’”+

  • Ezekieli 9:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Kwa hiyo akaniambia: “Kosa la nyumba ya Israeli na Yuda ni kubwa, kubwa sana.+ Inchi imejaa umwangaji wa damu,+ na muji umejaa upotovu.+ Kwa maana wanasema, ‘Yehova ameacha inchi hii, na Yehova haone.’+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine