Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Yehova atatawala akiwa mufalme milele na milele.+

  • Zaburi 145:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Ufalme wako ni ufalme wa milele,

      Na mamlaka yako yanadumu katika vizazi vyote.+

  • Yeremia 10:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.

      Yeye ndiye Mungu mwenye kuishi+ na Mufalme wa milele.+

      Kwa sababu ya kasirani yake kali dunia itatetemeka,+

      Na hakuna mataifa yenye yatavumilia kemeo lake.

  • Danieli 4:34
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 34 “Kwenye mwisho wa wakati huo+ mimi, Nebukadneza, niliangalia juu mbinguni, na uelewaji wangu ukanirudilia; na nikamusifu Mwenye Kuwa Juu Zaidi, na nikatoa sifa na utukufu kwa Ule mwenye anaishi milele, kwa sababu utawala wake ni utawala wa milele na ufalme wake ni wa kizazi kwa kizazi.+

  • 1 Timoteo 1:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Sasa kwa Mufalme wa umilele,+ mwenye hawezi kuharibika,+ mwenye haonekanake,+ Mungu pekee,+ kukuwe heshima na utukufu milele na milele. Amina.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine