Zaburi 146:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Yehova atakuwa Mufalme milele,+Mungu wako, Ee Sayuni, kizazi kwa kizazi. Mumusifu Yah!* 1 Timoteo 1:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Sasa kwa Mufalme wa umilele,+ mwenye hawezi kuharibika,+ mwenye haonekanake,+ Mungu pekee,+ kukuwe heshima na utukufu milele na milele. Amina.
17 Sasa kwa Mufalme wa umilele,+ mwenye hawezi kuharibika,+ mwenye haonekanake,+ Mungu pekee,+ kukuwe heshima na utukufu milele na milele. Amina.