-
1 Wakorinto 8:5, 6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Kwa maana hata kama kuko wale wenye wanaitwa miungu, ikuwe mbinguni ao duniani,+ kama vile kuko “miungu” mingi na “mabwana” wengi, 6 kwa kweli kwetu sisi kuko Mungu mumoja,+ ambaye ni Baba,+ mwenye vitu vyote vimetoka kwake na sisi tunaishi kwa ajili yake;+ na kuko Bwana mumoja, Yesu Kristo, mwenye vitu vyote viko kupitia yeye+ na sisi kupitia yeye.
-