-
Isaya 2:2, 3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Katika kipindi cha mwisho cha zile siku,
Mulima wa nyumba ya Yehova
Utawekwa imara kabisa kwenye kichwa cha milima,+
Na utainuliwa juu ya vilima,
Na mataifa yote yatamiminika kule.+
3 Na vikundi vingi vya watu vitaenda na kusema:
“Mukuje, tupande kwenye mulima wa Yehova,
Kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.+
Atatufundisha njia zake,
Na tutatembea katika mapito yake.”+
-
-
Ufunuo 7:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Kisha mambo hayo nikaona, na angalia! kundi kubwa la watu, wenye hakuna mutu mwenye aliweza kuhesabia, kutoka mataifa yote na makabila na vikundi vya watu na luga,+ wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme na mbele ya Mwana-Kondoo, wakiwa wamevaa kanzu za mweupe;+ na kulikuwa matawi ya mitende katika mikono yao.+ 10 Na wanaendelea kusema kwa sauti kubwa: “Wokovu wetu unatoka kwa Mungu wetu, mwenye kukaa kwenye kiti cha ufalme,+ na kwa Mwana-Kondoo.”+
-