Zaburi 52:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Lakini mimi nitakuwa kama muzeituni wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;Ninategemea upendo mushikamanifu wa Mungu,+ milele na milele. Zaburi 147:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Yehova anafurahia wale wenye kumuogopa,+Wale wenye kungojea upendo wake mushikamanifu.+ 1 Petro 5:6, 7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa hiyo, mujinyenyekeze chini ya mukono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati wenye kufaa,+ 7 wakati uleule mumutupie mahangaiko* yenu yote,+ kwa sababu yeye anawahangaikia ninyi.+
8 Lakini mimi nitakuwa kama muzeituni wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;Ninategemea upendo mushikamanifu wa Mungu,+ milele na milele.
6 Kwa hiyo, mujinyenyekeze chini ya mukono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati wenye kufaa,+ 7 wakati uleule mumutupie mahangaiko* yenu yote,+ kwa sababu yeye anawahangaikia ninyi.+