Zaburi 27:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Usinifiche uso wako.+ Usimufukuze mutumishi wako katika kasirani yako. Wewe ni musaidizi wangu;+Usinitupe wala usiniache, Mungu wangu wa wokovu. Isaya 12:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+
9 Usinifiche uso wako.+ Usimufukuze mutumishi wako katika kasirani yako. Wewe ni musaidizi wangu;+Usinitupe wala usiniache, Mungu wangu wa wokovu.
2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+