Mambo ya Walawi 26:42 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 42 Na nitakumbuka agano lenye nilifanya na Yakobo,+ na agano lenye nilifanya na Isaka,+ na pia agano lenye nilifanya na Abrahamu,+ na nitakumbuka inchi yao. Luka 1:54, 55 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 54 Amesaidia Israeli mutumishi wake, amekumbuka rehema yake,+ 55 kama vile aliahidi mababu zetu, Abrahamu na uzao wake,+ milele.”
42 Na nitakumbuka agano lenye nilifanya na Yakobo,+ na agano lenye nilifanya na Isaka,+ na pia agano lenye nilifanya na Abrahamu,+ na nitakumbuka inchi yao.
54 Amesaidia Israeli mutumishi wake, amekumbuka rehema yake,+ 55 kama vile aliahidi mababu zetu, Abrahamu na uzao wake,+ milele.”