8 “Lakini wewe, Ee Israeli, uko mutumishi wangu,+
Wewe, Ee Yakobo, mwenye nimechagua,+
Uzao wa Abrahamu rafiki yangu,+
9 Wewe, mwenye nilitosha kwenye miisho ya dunia,+
Na wewe, mwenye niliita kutoka sehemu zake za mbali zaidi.
Nilikuambia, ‘Wewe ni mutumishi wangu;+
Nimekuchagua wewe; sijakukataa.+