Zaburi 86:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, uko mwema+ na uko tayari kusamehe;+Uko na upendo mwingi mushikamanifu kwa ajili ya wale wote wenye wanakuitia.+ Luka 18:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Yesu akamuambia: “Sababu gani unaniita mwema? Hakuna mutu mwema isipokuwa mumoja tu, Mungu.+
5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, uko mwema+ na uko tayari kusamehe;+Uko na upendo mwingi mushikamanifu kwa ajili ya wale wote wenye wanakuitia.+