Zaburi 25:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Yehova ni mwema na munyoofu.+ Ndiyo sababu anafundisha watenda-zambi namna ya kuishi.+ Zaburi 145:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Yehova ni mwema kwa wote,+Na rehema yake inaonekana katika kazi zake zote. Luka 18:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Yesu akamuambia: “Sababu gani unaniita mwema? Hakuna mutu mwema isipokuwa mumoja tu, Mungu.+