Zaburi 17:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Umechunguza moyo wangu, umenichunguza wakati wa usiku;+Umenisafisha;+Utavumbua kwamba sijapanga kufanya jambo lolote la mubaya,Na kinywa changu hakijakosea. Zaburi 26:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Unichunguze, Ee Yehova, na unijaribu;Usafishe mawazo yangu ya ndani kabisa* na pia moyo wangu.+
3 Umechunguza moyo wangu, umenichunguza wakati wa usiku;+Umenisafisha;+Utavumbua kwamba sijapanga kufanya jambo lolote la mubaya,Na kinywa changu hakijakosea.