-
Matendo 2:25-28Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
25 Kwa maana Daudi anasema hivi juu yake: ‘Nimemuweka Yehova* mbele yangu* kila wakati, kwa maana iko* kwenye mukono wangu wa kuume ili nisitikiswe hata kidogo. 26 Ndiyo sababu moyo wangu ulichangamuka na ulimi wangu ulifurahi sana. Na nitakaa* katika tumaini; 27 kwa sababu hautaniacha* katika Kaburi,* na hautaruhusu mushikamanifu wako aone uharibifu.+ 28 Umenijulisha njia za uzima; utanijaza furaha kubwa mbele yako.’*+
-