-
Zaburi 16:8-11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Ninamuweka Yehova mbele yangu kila wakati.+
Kwa sababu iko* kwenye mukono wangu wa kuume, sitatikiswa* hata kidogo.+
9 Kwa hiyo moyo wangu unashangilia, nafsi yangu yote iko na* shangwe.
Na ninakaa* kwa usalama.
10 Kwa maana hautaniacha* katika Kaburi.*+
Hautaruhusu mushikamanifu wako aone shimo.*+
11 Unanijulisha njia ya uzima.+
-