Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yobu 14:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Ingekuwa muzuri kama ungenificha katika Kaburi,*+

      Ungenificha mupaka kasirani yako ipite,

      Ungeniwekea kipindi cha wakati na kunikumbuka!+

      14 Kama mutu anakufa, je, anaweza kuishi tena?+

      Nitangojea siku zote za kazi yangu ya kulazimishwa

      Mupaka wakati kitulizo changu kitakuja.+

  • Matendo 13:34-37
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 34 Na jambo la kwamba Yeye alimufufua kutoka kwa wafu ili asirudie tena kwenye uharibifu, Yeye alilisema kwa njia hii: ‘Nitawapatia ninyi maonyesho ya upendo mushikamanifu yenye nilimuahidi Daudi, yenye kuwa ya uaminifu.’*+ 35 Kwa hiyo imesemwa tena katika zaburi ingine: ‘Hautaruhusu mushikamanifu wako aone uharibifu.’+ 36 Kwa upande wake, Daudi alimutumikia Mungu* katika kizazi chake, akalala usingizi katika kifo, akazikwa pamoja na mababu zake, na akaona uharibifu.+ 37 Kwa upande mwingine, ule mwenye Mungu alifufua hakuona uharibifu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine