-
Matendo 13:34-37Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
34 Na jambo la kwamba Yeye alimufufua kutoka kwa wafu ili asirudie tena kwenye uharibifu, Yeye alilisema kwa njia hii: ‘Nitawapatia ninyi maonyesho ya upendo mushikamanifu yenye nilimuahidi Daudi, yenye kuwa ya uaminifu.’*+ 35 Kwa hiyo imesemwa tena katika zaburi ingine: ‘Hautaruhusu mushikamanifu wako aone uharibifu.’+ 36 Kwa upande wake, Daudi alimutumikia Mungu* katika kizazi chake, akalala usingizi katika kifo, akazikwa pamoja na mababu zake, na akaona uharibifu.+ 37 Kwa upande mwingine, ule mwenye Mungu alifufua hakuona uharibifu.+
-