28 Musishangazwe na jambo hili, kwa maana saa inakuja yenye wale wote wenye kuwa katika makaburi ya ukumbusho watasikia sauti yake+ 29 na watatoka, wale wenye walitenda mambo ya muzuri kwenye ufufuo wa uzima, na wale wenye walizoea kutenda mambo maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+