Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:38
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+

      Alikuwa anasamehe* kosa lao na hakuwaharibu.+

      Mara nyingi alizuia hasira yake+

      Kuliko kuchochea kasirani yake kali yote.

  • Isaya 49:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Je, mwanamuke anaweza kumusahau mutoto wake mwenye kunyonya

      Ao akose kusikilia huruma mwana wa tumbo lake la uzazi?

      Hata kama wanamuke hawa wanasahau, mimi siwezi kukusahau hata kidogo.+

  • Malaki 3:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 “Na watakuwa wangu,”+ ni vile Yehova wa majeshi anasema, “siku yenye nitatokeza mali ya pekee.*+ Nitawaonyesha huruma, kama vile mwanaume anamuonyesha huruma mwana wake mwenye kumutumikia.+

  • Yakobo 5:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Na sala ya imani itaponyesha ule mugonjwa,* na Yehova* atamuinua. Pia, kama amefanya zambi, atasamehewa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine