Zaburi 18:32 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 32 Mungu wa kweli ndiye ananivalisha nguvu,+Na atafanya njia yangu ikuwe kamilifu.+ Isaya 12:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+
2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+