Zaburi 98:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 98 Mumuimbie Yehova wimbo mupya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+ Mukono wake wa kuume, mukono wake mutakatifu, umeleta wokovu.*+ Zaburi 139:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia yenye kuogopesha sana na ya ajabu.+ Kazi zako ni za ajabu,+Ninajua* muzuri sana jambo hilo. Ufunuo 15:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mutumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makubwa na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za haki na za kweli,+ Mufalme wa umilele.+
98 Mumuimbie Yehova wimbo mupya,+Kwa maana ametenda mambo ya ajabu.+ Mukono wake wa kuume, mukono wake mutakatifu, umeleta wokovu.*+
14 Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia yenye kuogopesha sana na ya ajabu.+ Kazi zako ni za ajabu,+Ninajua* muzuri sana jambo hilo.
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mutumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makubwa na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za haki na za kweli,+ Mufalme wa umilele.+